forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
584 B
Markdown
25 lines
584 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Neno "mimi" katika sura 8 linamaanisha Ezra. Yeye ni mhusika.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Mstari 16 unajumuisha orodha ya majina ya wanaume
|
||
|
|
||
|
# mto uliyokuwa unaelekea Ahava
|
||
|
|
||
|
Maana inaweza kuwa kwamba "bandari" ilkuwa 1)njia ya maji ambayo watu walitengeneza au 2) mto wa kawaida. Inaweza kutafsiriwa kwa njia moja ya ujumla. AT:"njia ya maji ambayo inaelekea Ahava"
|
||
|
|
||
|
# Ahava
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la eneo
|
||
|
|
||
|
# Shemaya
|
||
|
|
||
|
Tafssiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 8:12
|
||
|
|
||
|
# Elnathani...Elnathani...Elnathani
|
||
|
|
||
|
Kulikuwa na uwezekano wanaume watatu pamoja waliofanana majina.
|
||
|
|