forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
788 B
Markdown
41 lines
788 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# agano la amani
|
||
|
|
||
|
"agano lile liletalo amani"
|
||
|
|
||
|
# wanyama waovu wa porini
|
||
|
|
||
|
Hawa ni wanyama wa porini ambao waliwaua kondoo na mbuzi.
|
||
|
|
||
|
# Pia nitaleta baraka juu yao na juu ya maeneo yazungukao kilima changu
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya matolea ya kisasa yanatafsiri "pia nitawarudisha na maeneo yanayozunguka kilima changu kwenye baraka."
|
||
|
|
||
|
# katika wakati wake
|
||
|
|
||
|
"kwa wakati sahihi"
|
||
|
|
||
|
# Hizi zitakuwa mvua za baraka
|
||
|
|
||
|
"Hii mvua itatolewa kama baraka"
|
||
|
|
||
|
# na dunia itashindwa kuzaa matunda yake
|
||
|
|
||
|
"nchi itaotesha chakula" Chakula kitamea juu ya nchi
|
||
|
|
||
|
# wataokoka
|
||
|
|
||
|
"watakuwa salama"
|
||
|
|
||
|
# watajua yakwamba mimi ndimi Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 6:6.
|
||
|
|
||
|
# fito za kongwa zao
|
||
|
|
||
|
"fito zinazoshikilia kongwa zao pamoja"
|
||
|
|