forked from WA-Catalog/sw_tn
45 lines
830 B
Markdown
45 lines
830 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kumpatia Ezekieli ujumbe wake kwa Wasraeli.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Israeli
|
||
|
|
||
|
Tazama jinsi ilivyo tafsiriwa katika sura ya 3:1.
|
||
|
|
||
|
# Mnasema hivi
|
||
|
|
||
|
"Hivi ndivyo ulivyosema"
|
||
|
|
||
|
# Makosa yetu na dhambi zetu
|
||
|
|
||
|
wanajisikia haitia kwa makosa yao na dhambi
|
||
|
|
||
|
# na tunadhoofika kwa ajili yao
|
||
|
|
||
|
Hili neno linalinganisha jinsi dhambi inavyo muharibu mtu.
|
||
|
|
||
|
# kati yao
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu wanajua Mungu hatawasamehe.
|
||
|
|
||
|
# Nitaishije?
|
||
|
|
||
|
Watu huuliza hili swali kusisitiza kwamba hawana tumaini la kuishi.
|
||
|
|
||
|
# Kama niishivyo
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
||
|
|
||
|
# hili ndilo tangazo la Yahwe
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika sura ya 5:11.
|
||
|
|
||
|
# kama mwovu akitubu kutoka njia yake?
|
||
|
|
||
|
"kama mtu muovu akiacha kufanya mambo mabaya"
|
||
|
|
||
|
# kwa nini mnataka kufa
|
||
|
|
||
|
Yahwe anatumia hili swali kusisitiza kwamba hataki watu wa Israeli kufa.
|
||
|
|