forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
391 B
Markdown
21 lines
391 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya Yahwe kuhusu Misri.
|
||
|
|
||
|
# Heliopolisi na Pi-besethi
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa miji katika upande wa kaskazini mwa Misri.
|
||
|
|
||
|
# ataanguka kwa upanga
|
||
|
|
||
|
Neno "upanga" limetumika kurejea kwa mapambano au vita" au "watakufa kwa upanga."
|
||
|
|
||
|
# miji yao itakwenda kwenye utumwa
|
||
|
|
||
|
"watu wa miji yao watakuwa mateka"
|
||
|
|
||
|
# Tapanesi
|
||
|
|
||
|
Huu ulikuwa mji wa muhimu katika kaskazini mwa Misri.
|
||
|
|