forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
613 B
Markdown
37 lines
613 B
Markdown
|
# Bwana Yahwe asema hivi
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsri yake katika sura ya 5:5.
|
||
|
|
||
|
# nitaleta mwisho wa sanamu za ubatili
|
||
|
|
||
|
"angamiza sanamu zisizo na maana"
|
||
|
|
||
|
# Memfizi
|
||
|
|
||
|
Memfizi ulikuwa mji muhimu sana katika Misri. Ulikuwa karibu na Kairo ya mpya.
|
||
|
|
||
|
# mwana mfalme katika nchi ya Misri
|
||
|
|
||
|
"mtawala muhimu katika nchi ya Misri"
|
||
|
|
||
|
# nitaweka hofu katika nchi ya Misri
|
||
|
|
||
|
"nitawafanya watu wa Misri kuogopa sana"
|
||
|
|
||
|
# Pathrosi
|
||
|
|
||
|
Huu ulikuwa mkoa katika kusini mwa Misri.
|
||
|
|
||
|
# kuweka moto katika Soani,
|
||
|
|
||
|
"nitaichoma Soani kwa moto"
|
||
|
|
||
|
# Soani
|
||
|
|
||
|
Soani ulikuwa mji mwingine muhimu katika Misri.
|
||
|
|
||
|
# Thebesi
|
||
|
|
||
|
Huu ulikuwa mji mkuu wa kusini mwa Misri.
|
||
|
|