forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
845 B
Markdown
41 lines
845 B
Markdown
|
# katika mwaka wa kumi na moja
|
||
|
|
||
|
"katika mwaka wa kumi na moja ya uhamisho wa Mfalme Yehoyakini"
|
||
|
|
||
|
# katika siku ya kwanza ya mwezi
|
||
|
|
||
|
Haijulikani ni mwezi gani wa kalenda ya Kiebrania Ezekieli alio umaanisha.
|
||
|
|
||
|
# neno la Yahwe likaja
|
||
|
|
||
|
"Yahwe alinena neno lake."
|
||
|
|
||
|
# Mwanadamu
|
||
|
|
||
|
Tazama tafsiri yake katika 2:1.
|
||
|
|
||
|
# Tire alisema juu ya Yerusalemu
|
||
|
|
||
|
"watu wa Tire wamesema juu ya watu wa Yerusalemu."
|
||
|
|
||
|
# Enhe!
|
||
|
|
||
|
"Ndiyo!" au "vizuri sana!"
|
||
|
|
||
|
# Malango ya watu yamevunjwa
|
||
|
|
||
|
Watu wa Tire wanatumia haya maneno kurejea kwa Yerusalemu kana kwamba ilikuwa lango la mji ambalo wafanya biashara walipitia kutoka mataifa yaliyozunguka yalipitia.
|
||
|
|
||
|
# Amenigeukia
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "yeye" inarejea kwa neno "malango" ambayo "imegeuka" juu ya bawaba kufungua kwenda Tire.
|
||
|
|
||
|
# nitajazwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "kujazwa" inamaanisha kustawi. "nitafanikiwa"
|
||
|
|
||
|
# ameharibiwa
|
||
|
|
||
|
"Yerusalemu imeharibiwa"
|
||
|
|