forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
422 B
Markdown
17 lines
422 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe akaanza kumweleza Ezekieli kuhusu uzinifu wa mke wake Oholiba, dada yake na Ohola.
|
||
|
|
||
|
# Oholiba
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kike linalomaanisha "hima yake yu katikati yake."
|
||
|
|
||
|
# waliokuwa wamevaa ngua za ushawishi, walikuwa watu waendesha farasi
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yote yanaelezea watu ambao ni matajiri. "waliokuwa matajiri"
|
||
|
|
||
|
# Ilikuwa kama kwa dada wote
|
||
|
|
||
|
"Dada wote wakawa najisi kupitia matendo yao ya ukahaba"
|
||
|
|