forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
489 B
Markdown
17 lines
489 B
Markdown
|
# Taarifa za Ujumla:
|
||
|
|
||
|
Yehova anaendelea kuzungumza juu ya mwana mkorofi
|
||
|
|
||
|
# maskini na wahitaji
|
||
|
|
||
|
Maneno "Maskini" na "muhitaji" yasisitiza kuwa hawa ni watu wasioweza kujisaidia wenyewe.
|
||
|
|
||
|
# kutoza riba
|
||
|
|
||
|
Neno "riba" linamaanisha fedha ya nyongeza inayolenga faida juu ya deni.
|
||
|
|
||
|
# riba
|
||
|
|
||
|
Neno hili linamaanisha pesa inayolipwa na mtu ili atumie pesa ya mkopo. Hata hivyo baadhi ya tafsiri za leo za neno hilo hutaja kama "riba yoyote" katika kifungu hiki cha maandiko kama "riba kubwa sana"
|
||
|
|