forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
536 B
Markdown
21 lines
536 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kunena na watu wa Israeli na Yuda.
|
||
|
|
||
|
# ghadhabu yangu itatimia
|
||
|
|
||
|
"sitakuwa na hasira tena kwa sababu nimefanya kila kitu nilichotaka kukifanya kwa sababu nilikuwa na njaa"
|
||
|
|
||
|
# nitaifanya ghadhabu yangu juu yao hata kulala
|
||
|
|
||
|
Neno "ghadhabu" maana yake hasira kali sana, na hapa inarejelea kwa adhabu. "nitaacha kukuadhibu kwa sababu nimewaadhibu kwa uaminifu."
|
||
|
|
||
|
# nitaridhika
|
||
|
|
||
|
"nitaridhika kwamba nimewaadhibu mno"
|
||
|
|
||
|
# wakati nitakapokamilisha ghadhabu yangu juu yao
|
||
|
|
||
|
"wakati nitakapomaliza kuwaadhibu"
|
||
|
|