forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
551 B
Markdown
29 lines
551 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuzungmza na Musa.
|
||
|
|
||
|
# Oholiabu ... Ahisamaki
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Nami nimetia hekima katika mioyo ya wote wenye moyo wa hekima
|
||
|
|
||
|
Mungu anazungumza kufanya watu kuweza kutengeneza vitu kana kwamba uwezo alikuwa anaweka kwenye mioyo yao.
|
||
|
|
||
|
# hema la kukutania
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la maskani.
|
||
|
|
||
|
# sanduku la ushuhuda
|
||
|
|
||
|
Sanduku ni chombo kinacho hifadhi amri.
|
||
|
|
||
|
# madhabahu ya kufukizia uvumba
|
||
|
|
||
|
"madhabahu ya kuteketeza uvumba"
|
||
|
|
||
|
# madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa
|
||
|
|
||
|
"madhabahu ambayo sadaka ili teketezwa"
|
||
|
|