forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
458 B
Markdown
25 lines
458 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kuwa makini naye
|
||
|
|
||
|
"Msikilize"
|
||
|
|
||
|
# Husimkasirishe, kwa kuwa hatasamehe
|
||
|
|
||
|
"hukimkasirisha, hatasamehe"
|
||
|
|
||
|
# Jina langu liko kwake
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" la husu mamlaka ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# hakika ukimtii sauti yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" ya wakilisha kile malaika anasema.
|
||
|
|
||
|
# adui kwa adui zako na mpinzani kwa wapinzani wako
|
||
|
|
||
|
Hii mistari miwili ina maana ya kitu kimoja na yana tumika kuweka mkazo.
|
||
|
|