forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
589 B
Markdown
25 lines
589 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaongea na Musa, lakini neno "wewe" la husu watu wote wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Kwa muda gani utaendelea kukataa kushika amri zangu na sheria zangu?
|
||
|
|
||
|
Mungu anatumia hili swali kuwa kemea watu maana hawakutii sheria zake.
|
||
|
|
||
|
# kushika amri zangu na sheria zangu
|
||
|
|
||
|
"kutii amri zangu na sheria zangu"
|
||
|
|
||
|
# Yahweh amekupa Sabato
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaongea kuhusu kufundisha watu kupumzika Sabato kana kwamba Sabato ni zawadi.
|
||
|
|
||
|
# siku ya sita ... siku mbili ... siku ya saba
|
||
|
|
||
|
"siku ya 6 ... siku 2 ... siku ya 7"
|
||
|
|
||
|
# mkate
|
||
|
|
||
|
Hii ya husu mkate uliyo tokea kama barafu kwenye ardhi kila asubui.
|
||
|
|