forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
703 B
Markdown
25 lines
703 B
Markdown
|
# kisafina cha manyasi
|
||
|
|
||
|
Hichi ni chombo kilicho tengenezwa kutokana nyasi inayo ota kando ya Mto wa Misri.
|
||
|
|
||
|
# akakipaka sifa na lami
|
||
|
|
||
|
Unaeza elezea kuwa hii ilikuwa kwa ajili ya kuzuuia maji.
|
||
|
|
||
|
# sifa
|
||
|
|
||
|
Hii ni gundi iliyo tengenezwa kwa petroli. Yaweza kutumika kuzuia maji.
|
||
|
|
||
|
# lami
|
||
|
|
||
|
Hii ni gundi ya rangi kawia au nyeusi inayo weza kutengenezwa kwa utomvu wa mti au petroli. Hivyo basi "lami" itajumuisha sio tu "sifa" bali pia mimea yenye utomvu. Yaweza tumika kuzuia maji.
|
||
|
|
||
|
# majani
|
||
|
|
||
|
Haya "majani" yalikuwa haina ya nyasi ndefu yaliyo ota sehemu nyevu na tambarare.
|
||
|
|
||
|
# akasimama mbali
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kuwa alisimama umbali ambao hakuweza kuonekana, lakini kwa ukaribu ambao aliweza kuona sanduku.
|
||
|
|