forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
424 B
Markdown
25 lines
424 B
Markdown
|
# Habari ya jumla
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na Waisraeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo maneno "wewe" na "yako" hapa ni umoja
|
||
|
|
||
|
# laana, machafuko, kukemea
|
||
|
|
||
|
"maafa, hofu, na kukatisha tamaa"
|
||
|
|
||
|
# kwa yote unayoweka mkono wako
|
||
|
|
||
|
Hii ni nahau. "kila kitu unachofanya"
|
||
|
|
||
|
# mpaka uharibiwe
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa kwa mfumo kazi. "mpaka maadui zako wakuharibu wewe"
|
||
|
|
||
|
# kuniacha mimi
|
||
|
|
||
|
Hapa "mimi" urejea kwa Yahwe
|
||
|
|
||
|
# kushikamana
|
||
|
|
||
|
kubaki kwako"
|
||
|
|