forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
716 B
Markdown
21 lines
716 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii inaendeleza kile ambacho Muisraeli anatakiwa kusema pale anapoleta mazao yake ya kwanza kwa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe alituondoa
|
||
|
|
||
|
Hapa "alituondoa" ina maana ya watu wa Israeli ambao walikuwa wakiishi Misri. Mwandishi anajijumlisha mwenyewe kama mmoja wa watu hata kama aliishi Misri au la.
|
||
|
|
||
|
# kwa mkono wake mkuu, kwa mkono wake ulionyoshwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono mkuu" na "mkono ulionyoka" ni sitiari kwa nguvu ya Yahwe. "kwa kuonyesha nguvu yake" Maneno kama haya hujitokeza katika 4:34.
|
||
|
|
||
|
# kwa hofu kuu
|
||
|
|
||
|
"kwa matendo ambayo yaliwatisha watu waliyoyaona"
|
||
|
|
||
|
# nchi inayotiririka kwa maziwa na asali
|
||
|
|
||
|
Hii ni lahaja. "nchi yenye maziwa mengi na mtiririko wa asali" au "nchi ambayo inafaa kwa mifugo na ukulima"
|
||
|
|