forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
550 B
Markdown
21 lines
550 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# napaswa kwenda malangoni mpaka kwa wazee
|
||
|
|
||
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "unapaswa kwenda juu katika malango ya mji ambapo wazee huamua masuala"
|
||
|
|
||
|
# amekataa kuwajibika kwa niaba ya jina la kaka yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" ina maana ya kumbukumbu ya mtu kupitia uzao wake. "anakataa kumpatia kaka yake mwana"
|
||
|
|
||
|
# hataki kufanya wajibu wa kaka wa mume kwangu
|
||
|
|
||
|
"hatafanya kile ambacho kaka wa mume wake anatakiwa kufanya na kunioa"
|
||
|
|
||
|
# Sitaki kumchukua
|
||
|
|
||
|
"Sitaki kumuoa yeye"
|
||
|
|