forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
879 B
Markdown
33 lines
879 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli juu ya mwanamume anayepata talaka na kuoa mwanamume mwingine.
|
||
|
|
||
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "yako" hapa ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# Iwapo mume wa pili akamchukia
|
||
|
|
||
|
"Kama mume wa pili akaamua ya kwamba anamchukia mwanamke huyu"
|
||
|
|
||
|
# talaka
|
||
|
|
||
|
Hii ni karatasi rasmi inayosema ya kwamba mwanamume na mwanamke hawajaoana tena.
|
||
|
|
||
|
# akaiweka mkononi mwake
|
||
|
|
||
|
"kumpatia mwanamke"
|
||
|
|
||
|
# mwanamume aliyemchukua kuwa mke wake
|
||
|
|
||
|
"mwanamume wa pili aliyemuoa mwanamke"
|
||
|
|
||
|
# baada ya yeye kuwa mchafu
|
||
|
|
||
|
Maana kamili ya kauli hii inawez akuwekwa wazi. "baada ya kuwa mchafu kwa talak na ndoa nyingine kwa mwanamume mwingine"
|
||
|
|
||
|
# Hautakiwi kusababisha nchi iwe na hatia
|
||
|
|
||
|
Nchi inazungumziwa kana kwamba inaweza kutenda dhambi. "hautakiwi kusambaza hatia katika nchi"
|
||
|
|