forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
707 B
Markdown
25 lines
707 B
Markdown
|
# Taarifa ya ujumla
|
||
|
|
||
|
Musa aliendelea kuwakumbusha watu wa Israel nini kizazi kilichopita cha Israel kilivyofanya.
|
||
|
|
||
|
# Nilikuambia
|
||
|
|
||
|
"Niliwambia mababu zenu"
|
||
|
|
||
|
# mbele ya macho yenu
|
||
|
|
||
|
Hapa maneno haya "mbele ya macho yenu" urejea kile walichokiona.
|
||
|
|
||
|
# ulichokiona...Yahwe Mungu wenu aliwabeba...mlienda...mlikuja
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na wana Israel kama walikuwa mtu mmoja, basi mifano ya "wewe" na "vyako" ni umoja.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe Mungu wenu aliwabeba, kama mtu anavyombeba mtoto wake.
|
||
|
|
||
|
Hapa kujali kwa Yahwe kwa watu wake kunalinganishwa kama kwa baba. "Yahwe Mungu wenu amewajali, kama baba anavyomjali mtoto wake"
|
||
|
|
||
|
# mpaka ulipokuja katika eneo hili
|
||
|
|
||
|
"mpaka ulipokuja katika nchi hii ambayo Mungu ameahidi kukupa"
|
||
|
|