sw_tn/dan/07/01.md

25 lines
748 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya jumla
Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mpango wa mtiririko wa kawaida. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa akali ni mfalme, kabla ya utawala wa Dario na Koreshi walioongelewa katika sura ya 6.
# Maelezo ya jumla
Katika maono ya Danieli, aliona wanyama waliokuwa ni ishara ya mambo mengine. Baadaye katika maono mtu fulani alifafanua maana ya ishara hizo.
# Belshaza
Hili ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza, ambaye alikuwa mfalme baada yake.
# ndoto na maono
Maneno haya "ndoto na maono" yote yanarejelea ndoto ile ile iliyoelezewa katika sura hii.
# pepo nne za mbinguni
"pepo kutoka kila sehemu" au "pepo zenye nguvu kutoka sehemu zote nne za mwalekeo"
# zinaitikisa
"piga piga" au "kusababisha mawimbi makubwa"