forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
748 B
Markdown
25 lines
748 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Sura ya 7 na ya 8 haziko katika mpango wa mtiririko wa kawaida. Zilitokea wakati Belshaza alipokuwa akali ni mfalme, kabla ya utawala wa Dario na Koreshi walioongelewa katika sura ya 6.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Katika maono ya Danieli, aliona wanyama waliokuwa ni ishara ya mambo mengine. Baadaye katika maono mtu fulani alifafanua maana ya ishara hizo.
|
||
|
|
||
|
# Belshaza
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtoto wa kiume wa Nebukadneza, ambaye alikuwa mfalme baada yake.
|
||
|
|
||
|
# ndoto na maono
|
||
|
|
||
|
Maneno haya "ndoto na maono" yote yanarejelea ndoto ile ile iliyoelezewa katika sura hii.
|
||
|
|
||
|
# pepo nne za mbinguni
|
||
|
|
||
|
"pepo kutoka kila sehemu" au "pepo zenye nguvu kutoka sehemu zote nne za mwalekeo"
|
||
|
|
||
|
# zinaitikisa
|
||
|
|
||
|
"piga piga" au "kusababisha mawimbi makubwa"
|
||
|
|