forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
478 B
Markdown
17 lines
478 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Katika mistari ya 1-18, Nebukadneza anaeleza maono yake kutoka kwa Mungu katika nafsi ya kwanza.
|
||
|
|
||
|
# niliona katika akili zangu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejelea kitendo cha kuiona ndoto au maono.
|
||
|
|
||
|
# Alipiga kelele na kusema
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwekwa wazi kwamba mjumbe mtakatifu alikuwa akiongea na mtu zaidi ya mmoja
|
||
|
|
||
|
# Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege wapae mbali kutoka katika matawi yake.
|
||
|
|
||
|
"Wanyama watakimbia chini yake na ndege watapaa kutoka katika matawi yake."
|
||
|
|