forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
686 B
Markdown
16 lines
686 B
Markdown
|
# Bwana Yahwe, Yahwe Mungu
|
||
|
|
||
|
Katika Agano la Kale, "Bwana Yahwe" mara kwa mara limetuika limerejea kwa Mungu wa kweli mmoja."
|
||
|
|
||
|
# nyumba
|
||
|
|
||
|
Neno "nyumba" mara nyingi limetumika katika Biblia.
|
||
|
*Wakati mwingine linamaanisha "kaya," kurejea watu waishio pamoja katika nyumba moja.
|
||
|
*Mara nyingi "nyumba" hurejea kwa ukoo wa mtu au ndugu wengine. Kwa mfano, kirai "nyumba ya Daudi" hurejea kwa koo zote za Mfalme Daudi.
|
||
|
*Maneno "nyumba ya Mungu" na "nyumba ya Yahwe" hurejea kwa hema au hekalu. Haya maelezo pia unaweza kurejea kiujumla mahali Mungu alipo au makao.
|
||
|
|
||
|
# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli
|
||
|
|
||
|
Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alipatia Yakobo. Lina maana, "amepigana na Mungu."
|
||
|
|