forked from WA-Catalog/sw_tn
45 lines
887 B
Markdown
45 lines
887 B
Markdown
|
# Hii ndiyo sababu kasema pia katika zaburi nyingine
|
||
|
|
||
|
Wasikilizaji wa Paulo wangeweza kufahamu kuwa Zaburi hii ilikuwa inamtaja Masihi.
|
||
|
|
||
|
# Anasema pia
|
||
|
|
||
|
"Daudi pia alisema." Daudi ni mwandishi wa Zaburi ya 16 ambapo nukuu hii imechukuliwa.
|
||
|
|
||
|
# 'Hautaruhusu mtakatifu wako kuuona uozo.'
|
||
|
|
||
|
Neno "kuona uozo" ni neno linalofanana na "kuharibika." Hutaruhusu mwili wa mtakatifu wako kuharibika."
|
||
|
|
||
|
# Hutaruhusu
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi anamwambia Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Katika kizazi chake
|
||
|
|
||
|
"Katika kipindi cha uhai wake"
|
||
|
|
||
|
# kutumika katika nia ya Mungu
|
||
|
|
||
|
"alifanya kile alichomtaka Mungu kufanya"
|
||
|
|
||
|
# alilala,
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa lugha laini iliyokwa inazungumzia kifo.
|
||
|
|
||
|
# alilazwa pamoja na baba zake
|
||
|
|
||
|
"Alizikwa pamoja na baba zake waliokuwa wamekufa"
|
||
|
|
||
|
# aliuona uaharibifu
|
||
|
|
||
|
"Kuona uharibifu" ni kusema kuwa "Mwili wake uliharibiwa"
|
||
|
|
||
|
# Lakini aliyefufuliwa
|
||
|
|
||
|
"Lakini Yesu ambaye"
|
||
|
|
||
|
# hakuuona uharibifu
|
||
|
|
||
|
"Yesu hakuona uharibifu"
|
||
|
|