forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
713 B
Markdown
33 lines
713 B
Markdown
|
# Hivyo mfalme akamwambia Yoabu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana kwamba mfalme alitaka Yoabu aletwe mbele yake ili kwamba aongee naye.
|
||
|
|
||
|
# Basi tazama
|
||
|
|
||
|
Kifungu kimetumika kuonesha usikivu wa mtu kwa kusikiliza kwa makini kinachosemwa baada ya hapo.
|
||
|
|
||
|
# Jambo hili
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa anachotaka Yoabu mfalme akifanye.
|
||
|
|
||
|
# Yoabu akainamisha uso wake chini
|
||
|
|
||
|
Yoabu alifanya hivi kwa kumweshimu mfalme na kuonesha shukurani yake.
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Hii ni kuonesha heshima kwa mfalme
|
||
|
|
||
|
# Nimepata kibari mbele zako
|
||
|
|
||
|
Kifungu "kuona kibari" kinamaanisha kuthibitishwa na mtu fulani. Kifungu "mbele yako" kinarejea kwa anachokifikiri mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Katika hilo mfalme
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu mfalme"
|
||
|
|
||
|
# Mfalme ametimiza haja
|
||
|
|
||
|
"Umefanya nilichokuomba kufanya"
|
||
|
|