forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
841 B
Markdown
29 lines
841 B
Markdown
|
# kwa sababu watu wamenitisha.
|
||
|
|
||
|
Maneno yanayokosekana yanaweza kuongezwa katika kifungu hiki. Yaani "kwa sababu watu wameniogopesha hata nimekuja"
|
||
|
|
||
|
# Mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Hii ni kuonesha heshima kwa mfalme hivyo anajiita "mtumishi wako"
|
||
|
|
||
|
# Kumtoa mtumishi wake
|
||
|
|
||
|
Hapa kifungu "kumtoa" inamaanisha kumkabizi katika mikono ya mtu mwingine.
|
||
|
|
||
|
# Kutoka katika mkono wa mtu
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" unarejerea katika mamlka ya mtu.
|
||
|
|
||
|
# Kutoka katika urithi wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba wasingekuwa na mzao yeyote wa kuishi katika nchi ambayo ingelithiwa na wazao wao.
|
||
|
|
||
|
# Neno la bwana wangu mfalme
|
||
|
|
||
|
Kirai jina "neno" kinaweza kuelezwa na kitenzi "husema"
|
||
|
|
||
|
# Maana kama malaika wa Mungu, ndivyo alivyo bwana wangu... kutoka uovu
|
||
|
|
||
|
Hapa Daudi, mfalme, analinganishwa na "malaika wa Mungu." Hii ni kwa sababu wote wanajua jinsi ya kutofautisha mema kutoka mabaya.
|
||
|
|