forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
595 B
Markdown
29 lines
595 B
Markdown
|
# Basi
|
||
|
|
||
|
Neno hili linatumika hapa kuonesha kikomo katika habari kuu. Hapa mwandishi anazungumzia mtu mwingine katika habari.
|
||
|
|
||
|
# Seruya
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamme
|
||
|
|
||
|
# Kufahamu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaana kuwa Yoabu alitambua alichokuwa anafikiri Daudi.
|
||
|
|
||
|
# akapeleka neno Tekoa na kutaka mwanamke mwerevu aletwe.
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa alituma mtu akiwa na ujumbe huko Tekoa na kumletea mwanamke.
|
||
|
|
||
|
# Tekoa
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la eneo
|
||
|
|
||
|
# Uwe kama mwanamke aliyeomboleza
|
||
|
|
||
|
Yoabu anatoa mlinganisho, akieleza kwa mwanamke jinsi alivyomtaka aonekane.
|
||
|
|
||
|
# aliyekufa
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa mtu aliyekufa, siyo wafu wote kwa jumla.
|
||
|
|