forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
334 B
Markdown
13 lines
334 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Tamari anaendelea kuongea na Amnoni
|
||
|
|
||
|
# Ningeenda wapi kujiepusha na aibu ambayo ingewekwa juu yangu maishani?
|
||
|
|
||
|
Tamari anauliza swali hili kusisitiza kiasi gani angeona aibu kama atalala naye.
|
||
|
|
||
|
# Kujiepusha na aibu hii.
|
||
|
|
||
|
Tamari anazungumzia kuondoa aibu yake kama vile ingekuwa adui au mtesaji aliyetaka kumkwepa.
|
||
|
|