forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
385 B
Markdown
9 lines
385 B
Markdown
|
# watu wote wakaja
|
||
|
|
||
|
Huku kutia chumvi kwa kukusudia kunatumika kuonesha kuwa taifa la Israeli kumjari Daudi katika uzuni yake. Yaani:"Watu wengi walikuja"
|
||
|
|
||
|
# Mungu na anifanyie hivyo, na zaidi, ikiwa
|
||
|
|
||
|
Huu ni muundo wa nadhiri ya dhati wakati huo. Daudi anamwomba Mungu kumhukumu kwa ukali ikiwa atakula chochote kabla ya jua kuchwa. Yaani "Ninamwomba Mungu anaifanyie hivyo ikiwa"
|
||
|
|