forked from WA-Catalog/sw_tn
45 lines
1.1 KiB
Markdown
45 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Maelezo kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Daudi anaimba wimbo wa maombolezo kwa Sauli na Yonathani
|
||
|
|
||
|
# Wimbo wa Upinde
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa jina la wimbo
|
||
|
|
||
|
# Kitabu cha Yashari
|
||
|
|
||
|
Neno "Yashari" humaanisha "Unyofu."
|
||
|
|
||
|
# iliyoandikwa katika Kitabu cha Yashari
|
||
|
|
||
|
Hii ni taarifa ya mwanzo iliyoongezwa kumweleza msomaji yaliyotendeka katika wimbo
|
||
|
|
||
|
# Utukufu wako, Israeli, umekufa
|
||
|
|
||
|
"Utukufu wako" inamwonesha Sauli.
|
||
|
|
||
|
# Wenye uwezo
|
||
|
|
||
|
Kifungu "wenye uwezo" inamhusu Sauli na Yonathani. Kisifa nomino hiki kipo katika wingi, na kinaweza kutaarifiwa kama "wenye uwezo"
|
||
|
|
||
|
# wameanguka
|
||
|
|
||
|
Neno "wameanguka" linamaanisha "kufa"
|
||
|
|
||
|
# Msisema katika Gathi...msiitangaze katika mitaa ya Ashkeloni
|
||
|
|
||
|
Vifungu hivi viwili vinamaanisha jambo moja na vimerudiwa kama sehemu ya ushairi wa wimbo
|
||
|
|
||
|
# Gath...Ashkeloni
|
||
|
|
||
|
Gathi na Ashkeloni ni miwili kati ya miji mikubwa ya Wafilisiti. Wafilisiti walimwua Sauli na Yonathani
|
||
|
|
||
|
# ili binti za Wafilisiti wasifurahi...ili binti za wasiotahiriwa wasisherehekehee.
|
||
|
|
||
|
Vifungu hivi viwili vinamaanisha jambo moja na vimerudiwa kama sehemu ya ushairi wa wimbo.
|
||
|
|
||
|
# binti za wasiotahiriwa
|
||
|
|
||
|
kifungu hiki kinawahusu watu wasiomfuata Yahwe, kama vile Wafilisiti.
|
||
|
|