forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
554 B
Markdown
25 lines
554 B
Markdown
|
# bahari
|
||
|
|
||
|
"beseni kubwa la shaba."
|
||
|
|
||
|
# stendi
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa stendi kubwa zihamishikazo pamoja magurudumu ya shaba na ekseli. "zile stendi za nguzo za kuhamisha
|
||
|
|
||
|
# dhiraa kumi na nane ... dhiraa tatu
|
||
|
|
||
|
Dhiraa ilikuwa sintimita 46. "takribani mita 8.3 ... takribani mita 1.4"
|
||
|
|
||
|
# kichwa cha shaba
|
||
|
|
||
|
"msanii, mbunifu wa shaba" au kipande cha shaba pamoja na ubunifu"
|
||
|
|
||
|
# kazi ya kiunzi cha fito
|
||
|
|
||
|
Huu ulikuwa ubunifu uliotengenezwa kwa tepe zilizopishana zilizokuwa zikionekana kama wavu.
|
||
|
|
||
|
# vyote vilitengenezwa kwa shaba
|
||
|
|
||
|
"vilitengenezwa kwa shaba kabisa"
|
||
|
|