forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
451 B
Markdown
21 lines
451 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ujumbe kutoka kwa Yahwe kwa Mfalme Hezekia kupitia nabii Isaya unaendelea.
|
||
|
|
||
|
# Miaka kumi na tano
|
||
|
|
||
|
miaka 15
|
||
|
|
||
|
# kutoka kwenye mkono wa mfalme wa Ashuru
|
||
|
|
||
|
"Mkono" ni ishara ya nguvu, mamlaka na amri. "kutoka kwa amri ya mfalme wa Ashuru"
|
||
|
|
||
|
# mkate wa tini
|
||
|
|
||
|
"gundi iliyotengenezwa na tini iliyochemshwa
|
||
|
|
||
|
# Walifanya hivyo na kuiweka juu ya jipu lake
|
||
|
|
||
|
"Watumishi wa Hezekia walifanya hivyo na kuweka ile gundi kwenye uvimbe wa Hezekia"
|
||
|
|