forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
600 B
Markdown
13 lines
600 B
Markdown
|
# Lakini Yahwe aliwahurumia Israeli, na alikuwa na huruma juu yao na kushuhulika kwa ajili yao
|
||
|
|
||
|
Inaweza kuwa msaada kugawanya sentensi yake kwenye sehemu ndogo ndogo. "Lakini Yahwe alikuwa mkarimu sana kwa watu Waisraili. Aliwasaidia" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# Hivyo Yahwe hakuwaangamiza
|
||
|
|
||
|
Agano ya Yahwe ni sababu hakuiangamiza Israeli. Hii inaweza kuwekwa wazi. "Hii ni sababu kwamba Yahwe hakuwaangamiza" au "Kwa sababu ya agano lake, Yahwe hakuwaangamiza"
|
||
|
|
||
|
# hakuwatupa kutoka kwenye uwepo wake
|
||
|
|
||
|
Kukataa kwa Yahwe kunazungumziwa kana kwamba alikuwa akiitoa Israeli kwa mwili kutoka alipokuwa. "hakuwakataa" (UDB)
|
||
|
|