forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
565 B
Markdown
17 lines
565 B
Markdown
|
# omboleza juu yake
|
||
|
|
||
|
"omboleza kwa sababu Elisha alikuwa anaumwa"
|
||
|
|
||
|
# Baba yangu, baba yangu
|
||
|
|
||
|
Elisha hakuwa baba wa mfalme halisi. Mfalme Yoashi alitumia hili neno kama alama ya heshima.
|
||
|
|
||
|
# magari ya farasi ya Israeli na hawa waendesha farasi wanakuchukua
|
||
|
|
||
|
Hii ni kumbukumbu kwa Elisha kwanda mbinguni katika 2:11. Yoashi anatumika hili neno kusema kwamba Elisha alikwa anaenda kufa. "magari ya farasi ya Israeli na waendesha farasi wanakuchukua kwenda mbinguni"
|
||
|
|
||
|
# waendesha farasi
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa watu waliokuwa wakiendesha farasi. "waendesha magari ya farasi"
|
||
|
|