forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
497 B
Markdown
21 lines
497 B
Markdown
|
# je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
|
||
|
|
||
|
Hili swali linatumika kumkumbusha msomaji kwamba haya mambo yamerekodiwa. "yameandikwa katika kitabu cha historia ya Wafalme wa Yuda."
|
||
|
|
||
|
# Sila
|
||
|
|
||
|
Eneo la hii sehemu haijulikani.
|
||
|
|
||
|
# Yozakari ... Shimeathi ... Yehozabadi ... Shomeri ... Amazia
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# pamoja na baba zake
|
||
|
|
||
|
"katika jumba la kifalmeambapo baba zake walipokuwa wamezikwa (UDB)
|
||
|
|
||
|
# akawa mfalme katika mahali pake
|
||
|
|
||
|
"akawa mfalme wa Yuda aliyefuata"
|
||
|
|