forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
646 B
Markdown
25 lines
646 B
Markdown
|
# Kauli Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Hii inaendelea hadithi ya kilichotokea baada ya Yoashi, mwana wa Mfalme Azaia, alijificha kwenye hekalu baada ya Wafalme wote wa uzao wa Ahazia kuawa.
|
||
|
|
||
|
# Katika siku ya saba
|
||
|
|
||
|
"Katika siku ya saba ya utawala wa Athalia" au "Katika mwaka wa 7 wa utawala wa Athalia"
|
||
|
|
||
|
# Yehoyada
|
||
|
|
||
|
kuhani mkuu
|
||
|
|
||
|
# Wakari
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la kundi maalumu la walinzi wa kifalme.
|
||
|
|
||
|
# kuwaleta kwake
|
||
|
|
||
|
Yehoyada, kuhani mkuu, alikuwa na hawa askari wa kijeshi wakitoa taarifa kwake kwenye hekalu. "walikuja kuonana naye kwenye hekalu"
|
||
|
|
||
|
# Kisha akawaonyesha mwana wa mfalme
|
||
|
|
||
|
Yehoyada akawafunulia kwamba Yoashi, mwana wa Mfalme Azahia, alikuwa bado yu hai.
|
||
|
|