forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
721 B
Markdown
21 lines
721 B
Markdown
|
# aliwaambia mlinzi na manahodha
|
||
|
|
||
|
Yehu alitoka nje ya hekalu kabla ya kunena na mlinzi. "alirudi nje ya hekalu la Baali na kuwaambia walinzi na manahodha"
|
||
|
|
||
|
# kwa ukali wa upanga
|
||
|
|
||
|
Kisha watu wakatumia panga kuwaua wamwabuduo Baali. Hili neno linarejea kwa panga zao. "pamoja na panga zao" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# wakawatupa nje
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba walizitupa maiti nje za watu ya hekalu. "walizitupa maiti zao nje ya hekalu"
|
||
|
|
||
|
# kuifanya choo
|
||
|
|
||
|
"kuifanya choo cha uma" Choo ni chumba cha kuogea, au eneo la choo, kawaida kwa ajili ya kambi au majengo yalitumika kwa nyumba ya maaskari.
|
||
|
|
||
|
# ambacho kipo hadi leo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba hicho kitu kilichosalia katika hali flani hadi wakati huu. "na tangu hapo ilikuwa hivyo siku zote"
|
||
|
|