forked from WA-Catalog/sw_tn
41 lines
1.0 KiB
Markdown
41 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# mara ya pili
|
||
|
|
||
|
"mara ya 2"
|
||
|
|
||
|
# upande wangu
|
||
|
|
||
|
Kuwa "upande wa mwingine" inamaanisha kuwa mttifu kwao na kuwasaidia. "mwaminifu kwangu"
|
||
|
|
||
|
# sikia
|
||
|
|
||
|
kusikiliza na kutii
|
||
|
|
||
|
# sauti yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "sauti" ya Yehu inarejea kile akisemacho. "kwa kile asemacho"
|
||
|
|
||
|
# mtachukua vichwa ... na mje kwangu
|
||
|
|
||
|
Inaonyesha kwamba wanatakiwa kuleta vichwa vya uzao wa Ahabu na kuviweka kwa Yehu. "mtachukua vichwa ... na kuvileta kwangu"
|
||
|
|
||
|
# mtachukua vichwa ... na mje kwangu
|
||
|
|
||
|
Inaonyesha kwamba wanatakiwa kuleta vichwa kwa uzao wa Ahabu na kuviweka kwa Yehu. "mtavichukua vichwa ... na kuvileta kwangu"
|
||
|
|
||
|
# mtachukua vichwa vya watu wa uzao wa bwana wenu
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kuwaua na kuwaondoa vichwa vyao. "kuua uzao wa bwana wenu na kuvikata vichwa vyao"
|
||
|
|
||
|
# sabini katika namba ... watu sabini
|
||
|
|
||
|
"70 katika namba ... watu 70"
|
||
|
|
||
|
# waliokuwa wakiwapandisha juu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba walikuwa wakiwasimamia na kuwafundisha. "waliokuwa wakiwalea" au "waliokuwa wakiwasimamia"
|
||
|
|
||
|
# na kuwapeleka kwa Yehu
|
||
|
|
||
|
Hii inaanisha kwamba waliwatuma watu kupeleka vikapu kwa Yehu. "na kuwapeleka watu kuwachukua kwa Yehu"
|
||
|
|