forked from WA-Catalog/sw_tn
45 lines
1.4 KiB
Markdown
45 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# Nimshi
|
||
|
|
||
|
Nimshi ni jina la baba wa Yehoshafati
|
||
|
|
||
|
# Basi Yoramu
|
||
|
|
||
|
Hili neno limetumika hapa kuvunja alama katika hadithi kuu. Hapa mwandishi anaeleza habari ya historia jinsi Yoramu alivyokuwa amejeruhiwa na kwenda kupona katika Yezreeli.
|
||
|
|
||
|
# Israeli yote
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kwa jeshi la Waisraeli pekee na sio kwa kila mmoja aishie katika Israeli. "yeye na jeshi lake" au "yeye na jeshi la Israeli"
|
||
|
|
||
|
# kuponywa
|
||
|
|
||
|
"kupona kutokana na"
|
||
|
|
||
|
# majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kwamba alikuwa amejeruhiwa katika vita pamoja na Washami. "majeraha ambayo Yoramu aliyapata kipindi cha vita pamoja na jeshi la Shami"
|
||
|
|
||
|
# juu ya Hezekia mfalme wa Shamu
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejea Hazaeli na jeshi lake. "juu ya na jeshi lake"
|
||
|
|
||
|
# Hazaeli
|
||
|
|
||
|
Hazaeli alikuwa mfalme wa Shami
|
||
|
|
||
|
# Yehu aliwaambia watumishi wa Yoramu
|
||
|
|
||
|
Hii inawarejea maafisa waliokuwa pamoja na Romath Gileadi.
|
||
|
|
||
|
# Kama hili ni wazo lako
|
||
|
|
||
|
"Kama upo kwenye makubaliano pamoja nami" Yehu anatumia hili neno kurejea kama watu wanamuunga mkono kuwa mfalme na maamuzi yake. "Kama kweli mnataka niwe mfalme wenu"
|
||
|
|
||
|
# ili kwenda kusema hizi habari katika Yezreeli
|
||
|
|
||
|
Hii inarejea kumwambia Yoramu na jeshi lake la mbinu za Yehu. "kumuonya mfalme Yoramu na jeshi lake katika Yezreeli"
|
||
|
|
||
|
# Basi Ahazia
|
||
|
|
||
|
Neno "basi" limetumika hapa kuvunja alama katika kichwa cha hadithi. Hapa mwandishi anaeleza habari za nyumba kuhusu Ahazia kumtembelea Yoramu.
|
||
|
|