forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
404 B
Markdown
13 lines
404 B
Markdown
|
# BWANA atamweka Israeli pamoja na wewe katika mkono wa Wafilisti
|
||
|
|
||
|
"Bwana atawaruhusu Wafilisti wawafanyie chochote wanachotaka kuwafanyia wewe pamoja na watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# mtakuwa pamoja nami
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia nzuri ya kumwambia Sauli kuwa atakufa.
|
||
|
|
||
|
# BWANA pia ataliweka jeshi la Israeli katika mkono wa Wafilisti
|
||
|
|
||
|
"Bwana atawaruhusu Wafilisti wawafanyie chochote wanachotaka kuwafanyia jeshi la Israeli"
|
||
|
|