forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
698 B
Markdown
25 lines
698 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Abigaili anaendelea kumshauri Daudi asilipe kisasi.
|
||
|
|
||
|
# Nakusihi bwana wangu usimjali ... mimi mjakazi wako ... vijana wa bwana wangu ... bwana wangu ... bwana wangu
|
||
|
|
||
|
Abigaili anajizungumzia mwenyewe kwa Daudi kama vile ni watu wawili ili kuonesha heshima kwa Daudi.
|
||
|
|
||
|
# Lakini mimi ... sikuwaona ... uliowatuma
|
||
|
|
||
|
"Lakini kama ... ningewaona ... uliowatuma, Ningewapa chakula"
|
||
|
|
||
|
# kumwaga damu
|
||
|
|
||
|
kuua
|
||
|
|
||
|
# kulipiza kisasi kwa mkono wako mwenyewe
|
||
|
|
||
|
"kulipiza kisasi mwenyewe badala ya kumuachia Bwana afanye"
|
||
|
|
||
|
# adui zako ... wawe kama Nabali
|
||
|
|
||
|
Abigaili anazungumza kama vile Bwana amekwisha muadhibu Nabali. "Natumaini kuwa Bwana atawaadhibu adui zako ... kama atakavyomuadhibu Nabali"
|
||
|
|