forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
854 B
Markdown
25 lines
854 B
Markdown
|
# Je, mwana wa Yese atawapa mashamba na mashamba ya mizabibu?
|
||
|
|
||
|
Sauli anatumia swali ili kusisitiza kwamba Daudi, ambaye ni wa kabila la Yuda, hataki kufanya hivyo kwa watu wa kabila la Benyamini. AT "Mwana wa Yese hatakupa mashamba au mizabibu."
|
||
|
|
||
|
# Je, mwana wa Yese atawapa
|
||
|
|
||
|
Wakati atakapotoa inaweza kufanywa wazi. AT "Wakati mwana wa Yese atakapokuwa mfalme, atatoa"
|
||
|
|
||
|
# mwana wa Yese
|
||
|
|
||
|
"Daudi"
|
||
|
|
||
|
# Je, atawafanya nyote kuwa majemedari.... mimi?
|
||
|
|
||
|
Sauli anatumia swali ili kusisitiza kwamba Daudi, ambaye ni wa kabila la Yuda, hataki kufanya hivyo kwa watu wa kabila la Benyamini. AT "Yeye hawezi kukufanya jemedari ... dhidi yangu."
|
||
|
|
||
|
# Je, atawafanya nyote kuwa majemedari
|
||
|
|
||
|
Unaweza kuhitaji kutoa wazi wakati atawafanya kuwa maakida. AT "Atakapokuwa mfalme, je, atawafanya ninyi nyota majemedari"
|
||
|
|
||
|
# majamedari
|
||
|
|
||
|
maofisa wa kijeshi ambao huongoza askari
|
||
|
|