forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
329 B
Markdown
13 lines
329 B
Markdown
|
# Wazee wa mji walikuwa wakitetemeka walipokuja kuonana
|
||
|
|
||
|
Wazee walikuwa wakitetemeka kwa sababu waliogopa kuwa Samweli amekwenda kuwakemea.
|
||
|
|
||
|
# Kwa amani
|
||
|
|
||
|
"ndio, nimekuja kwa amani"
|
||
|
|
||
|
# Jitoeni wenyewe
|
||
|
|
||
|
"Kujitoa" inamaana ya kuwa watu wajitoe wenyewe tayari kwa ajili ya kusudi la Mungu kwa kujitakasa kutokana na sheria ya Musa.
|
||
|
|