forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
515 B
Markdown
25 lines
515 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Sauli anataka kuendelea kupigana na Wafilisti.
|
||
|
|
||
|
# tusimwache hata mtu mmoja akiwa hai
|
||
|
|
||
|
"Tumuue kila mtu"
|
||
|
|
||
|
# Fanya unaloona linakupendeza
|
||
|
|
||
|
Sauli aliungwa mkono na jeshi lake katika kuendeleza mapigano.
|
||
|
|
||
|
# Hebu na tumkaribie Mungu mahali hapa
|
||
|
|
||
|
"kumkaribia Mungu" ni kitendo cha kutaka ushauri kwake. " hebu tumuulize Mungu la kufanya"
|
||
|
|
||
|
# utawaweka katika mkono wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"utatusaidia kuwashinda"
|
||
|
|
||
|
# Lakini Mungu hakumjibu siku hiyo
|
||
|
|
||
|
Hii inadhihirisha kuwa Mungu hakuwa tayari kumsaidia Sauli.
|
||
|
|