forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
365 B
Markdown
21 lines
365 B
Markdown
|
# wakajifunua mbele ya ngome ya Wafilisti
|
||
|
|
||
|
"wakaruhusu askari wa Wafilisti wawaone"
|
||
|
|
||
|
# mgome
|
||
|
|
||
|
"Kambi ya jeshi"
|
||
|
|
||
|
# wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha
|
||
|
|
||
|
Wafilisti wanaelezea kuwa Waebrania walijificha kwenye mashimo chini kama wanyama.
|
||
|
|
||
|
# tutawaonesha jambo
|
||
|
|
||
|
"tutawafundisha jambo"
|
||
|
|
||
|
# amewaweka katika mkono wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"Atawawezesha Waisraeli kuwashinda"
|
||
|
|