forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
516 B
Markdown
17 lines
516 B
Markdown
|
# kutokea katika nchi ya watekaji
|
||
|
|
||
|
"ambako adui zao wamewapeleka kama mateka"
|
||
|
|
||
|
# katika nchi ya watekaji
|
||
|
|
||
|
Neno "watekaji" linamaasha wale watu ambao huwafanya watu kuwa mateka.
|
||
|
|
||
|
# Tuemetenda kwa ukaidi, na tumefanya dhambi. Tumetenda kwa uovu.
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili vinvamaanisha kitu kimoja na vimetumika kuonyesha msisitizo wa jinsi hawa watu walivyofanya mabaya.
|
||
|
|
||
|
# tumetenda kwa ukaidi, na tumefanya dhambi
|
||
|
|
||
|
Maneno haya mawili ya namaanisha kitu kilekile na yametumika kuonyesha jinsi wale watu walivyofanya uovu.
|
||
|
|