forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
470 B
Markdown
21 lines
470 B
Markdown
|
# ndama walionona
|
||
|
|
||
|
"ndama waliokuwa wamepewa chakula cha kutosha ili wanenepe" au "ng'ombe wachanga waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya sadaka"
|
||
|
|
||
|
# jiwe la Sohelethi
|
||
|
|
||
|
Hili ni eneo lenye mwamba lililokaribu na Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Eni Rogeli
|
||
|
|
||
|
Hili liliuwa jina la kisima ambacho watu walipata maji
|
||
|
|
||
|
# ndugu zake wote, watoto wa mfalme
|
||
|
|
||
|
virai hivi viwili vinamaanisha kitu kilekile
|
||
|
|
||
|
# wanaume wote wa Yuda, na watumishi wa mfalme
|
||
|
|
||
|
Virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile.
|
||
|
|