forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
670 B
Markdown
25 lines
670 B
Markdown
|
# Maharai ... Zera ... Heldai ... Othnieli
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# mwezi wa kumi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa kumi wa kalenda ya Kiebrania.
|
||
|
|
||
|
# Netofa ... Pirathoni
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya sehemu. Ni wakati wa mwisho wa mwezi Desemba na mwanzo wa mwezi Januari katika kalenda za Magharibi.
|
||
|
|
||
|
# wanaume elfu ishirini na nne
|
||
|
|
||
|
wanaume elfu nne** "wanaume24,000"
|
||
|
|
||
|
# mwezi wa kumi na moja
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa kumi na moja wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Januari na mwanzo wa Februari kwa kalenda za Kimagharibi.
|
||
|
|
||
|
# mwezi wa kumi na mbili
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa kumi na mbili wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Februari na mwanzo wa Machi kwa kalenda za Kimagharibi.
|
||
|
|