forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
725 B
Markdown
33 lines
725 B
Markdown
|
# Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu
|
||
|
|
||
|
"Asaheli, kaka wa Yoabu, alikuwa mkuu wa mwezi wa nne"
|
||
|
|
||
|
# mwezi wa nne
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Juni na mwanzo wa Julai kwa kalenda za Kimagharibi.
|
||
|
|
||
|
# Asaheli ... Ikeshi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# kikosi chake
|
||
|
|
||
|
"kundi lake la jeshi"
|
||
|
|
||
|
# wanaume elfu ishirini na nne
|
||
|
|
||
|
wanaume elfu nne** "wanaume 24,000"
|
||
|
|
||
|
# mwezi wa tano
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa tano wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Julai na mwanzo wa Agusti kwa kalenda za Kimagharibi.
|
||
|
|
||
|
# mwezi wa sita
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwezi wa sita wa kalenda ya Kiebrania. Ni wakati wa mwisho wa Agusti na mwanzo wa Septemba kwa kalenda za Kimagharibi.
|
||
|
|
||
|
# Tekoa
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la sehemu.
|
||
|
|