forked from WA-Catalog/sw_tn
9 lines
289 B
Markdown
9 lines
289 B
Markdown
|
# Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni
|
||
|
|
||
|
Hapa "baba wa" ya husu hali ya Wayahudi kama kiongozi wa mji wa Gibeoni. "Yeieli, kiongozi wa Gibeoni, aliishi Gibeoni. Jina la mkewe lilikuwa Maaka"
|
||
|
|
||
|
# Uzao wake wa kwanza
|
||
|
|
||
|
"mzaliwa wa kwanza wa Yeieli"
|
||
|
|