forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
770 B
Markdown
36 lines
770 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Malaika anaendelea kuongea na Zakaria.
|
||
|
|
||
|
# anakwenda juu ya uso wa
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki kinahusu laana kama wingu linalosambaa kufunika uso wa nchi. Neno "uso" inahusu uso wa nchi kama uso wa mtu juu ya nyuso za kichwa chao.
|
||
|
|
||
|
# kutegemea inachosema upande mmoja
|
||
|
|
||
|
"kutegemea na kile ambacho gombo limeandika upande mmoja"
|
||
|
|
||
|
# kwa kadili ya maneno yao
|
||
|
|
||
|
Kifungu "maneno yao" kinamaanisha kile kilichosema katika nadhiri zao.
|
||
|
|
||
|
# Nitaipeleka
|
||
|
|
||
|
Neno "hiyo" inahusu laana.
|
||
|
|
||
|
# hili ni tamko la Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Kifungu mara nyingi kimefasiriwa kama "asema Yahwe. Kifungu hiki kimetumika mara nyingi katika kitabu cha Zakaria.
|
||
|
|
||
|
# nyumba
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha familia ya mtu na kila anachokimiliki.
|
||
|
|
||
|
# wa yule aapaye
|
||
|
|
||
|
"wa yule aapaye"
|
||
|
|
||
|
# mbao
|
||
|
|
||
|
mti unaotumika kwa ujenzi.
|