forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
985 B
Markdown
36 lines
985 B
Markdown
|
# walilia
|
||
|
|
||
|
"kupiga kelele"
|
||
|
|
||
|
# Kugeuka kutoka
|
||
|
|
||
|
"kubadilika"
|
||
|
|
||
|
# Lakini hawakuweza kusikia wala kunijari
|
||
|
|
||
|
Vifungu hivi vyote vinamaanisha watu wa Israeli wasingeweza kutii maagizo ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# asema Yahwe
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki mara kwa mara kitafasiriwa kama "asema Yahwe" katika UDB. Na kirai hiki kimetumika sana katika kitabu cha Zakaria.
|
||
|
|
||
|
# Wako wapi baba zenu? Na manabii, je wapo hapa daima?
|
||
|
|
||
|
Maswali haya yote yameulizwa kuonesha kwamba kwa kweli watu wanakufa.
|
||
|
|
||
|
# Lakini maneno yangu na maagizo niliyowaamru watumishi wangu manabii, je hayakuwapata baba zenu?
|
||
|
|
||
|
Maswali haya yametumika kuonesha watu wa Israeli kwamba kila jambo ambalo Bwana alikuwa amewaambia manabii wake kuwaonya babu zao, yalikuwa yametimia.
|
||
|
|
||
|
# Maneno yangu na amri zangu
|
||
|
|
||
|
Hii yote inaonesha Mungu aliyokuwa ameyasema kwa manabii.
|
||
|
|
||
|
# kuwapata baba zenu
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia unabii wake kama vile unawakimbilia babu zao ili uwapite. Neno "kupata" lamaanisha kuwapita
|
||
|
|
||
|
# matendo na njia zetu
|
||
|
|
||
|
"mwenendo na matendo yetu"
|